Mara zote unapokula kitu muhimu ni kuhakikisha
unafurahia mlo wako, lakini inapotokea chakula au mlo wako unakuwa ni moja ya
sababu ya kukufanya kupatwa na kichefuchefu na hatimaye kutapika basi jua
huenda kuna tatizo katika mfumo wa uyeyushaji chakula (digestive system)
Lakini iwapo kuna haja au umuhimu wa kuzuia kutapika
ili kukinga athari kubwa zinazoweza kujitokeza kutokana na kutapika huko mfano
kupungukiwa kiwango cha maji mwilini basi ni vizuri ukatumia njia hii katika
kuzuia kutapika.
Unaweza kutumia majani ya mpera kwa kuyachemsha
vizuri kwa muda wa dakika 20 kisha mhusika anywe nusu glasi ya maji hayo ili
kuzuia kutapika na rudia kunywa tena baada ya saa moja hadi kutapika
kutakapopona.
Pia unaweza kufika Mandai Herbalist Clinic ili upate
suluhsho la magonjwa mengine yakiwemo yale sugu kwa kutumia tiba asili za mimea
na matunda, kituo chetu kipo Ukonga, Mongolandege jijini Dar es Salaam.
No comments:
Post a Comment