![]() |
Waziri wa Fedha Saada Mkuya Salum |
Miongoni mwa hoja zilizopata nafasi ya kuzungumzwa jana bungeni ni pamoja na hoja za utetezi wa kodi ya mafuta ya taa.
Ambapo katika suala hili Waziri Fedha, Saada Mkuya Salum, alisema ni lazima zilipwe na kila Mtanzania anayeyatumia ili kuiwezesha Serikali kufanikisha mpango wake wa kusambaza umeme katika vijiji vyote nchini kupitia Wakala wa Umeme Vijijini (REA).
Nimeamua kukurekodia msomaji wangu sauti ya Waziri wa Fedha, Saada Mkuya Salum, wakati alipokuwa akizungumzia suala hilo, hebu chukuwa dakika yako 1 na sekunde 33 kumsikiliza hapa Waziri akizungumzia suala hilo.
No comments:
Post a Comment