Mboga za majani nimoja ya bidhaa ambazo zimekuwa zikipigiwa chapuo na watu wengi hususani wataalam wa afya kutokana na umuhimu wake mwilini
Hapa ninazo faida kadhaa za ulaji wa mbogamboga kwenye familia yako;-
1. Mboga za majani husaidia kupunguza sumu inayozalishwa na vyakula au vinywaji vingine ndani ya mwili.
2. Mboga hizi za majani pia ni moja ya chanzo kizuri cha vitamin C ambayo ni muhimu mwilini kutokana na kuimarisha kinga za mwili.
3. Ulaji wa mboga za majani pia husaidia kuongeza kirutubisho cha carotene ambayo hubadilishwa mwilini na kuwa vitamin A hivyo matokeo yake huenda kusaidia pia afya ya macho.
Kwa maelezo zaidi na ushauri wasiliana nasi kwa simu namba 0716 300 200/ 0784 300 300/ 0769 400 800 au barua pepe dkmandaitz@gmail.com
http://nhlwinterclassic2017.us/
ReplyDeletehttp://nhlwinterclassic2017.us/
http://nhlwinterclassic2017.us/