
Wapo ambao hutumia siku za weekend kwa kutulia nyumbani tu, huku wakijiandaa na kujipanga vyema ili kuanza wiki ijayo vizuri.
Siku kama ya kesho yaani Jumamosi itapendeza kama ukiitumi kwa kukamirisha kazi zako muhimu hasa zile za nyumbani.
1. Tumia weekend yako kufanya usafi kwa ujumla
Inawezekekana ikawa ni usafi wa kufua nguo, kusafisha nyumba, vyombo pamoja na kufagia, ni vyema ukajitahidi siku za weekend ukawa unafanya usafi wa kutosha na wakuridhisha kabisa kwasababu mara nyingi katikati ya wiki huwa ni ngumu kupata muda wa kuyafanya hayo tena.
3. Ikiwa mambo yako yote muhimu na ya lazima uliyakamirisha katikati ya wiki na yote yapo sawa, basi weekend yako itumie kwa kufanya mambo mapya unayopendelea kufanya au kujifunza. Mfano kupika, kuogelea n.k
6. Ukiwa na nafasi pia unaweza kuwakumbuka watu wako wa karibu kama ndugu, jamaa na marafiki kwa kuwatembelea au kuwasiliana nao. Weekend hii kama una nafasi waoneshe ndugu, jamaa na marafiki kuwa unawajali na kuwapenda kwa kuwatembelea au hata kuwatumia salamu kwa njia ya SMS na kuwapigia simu.
No comments:
Post a Comment