
Dalili nyingine za upungufu wa maji ni pamoja na hizi hapa chini zifuatazo:-
2. Kukosa uchangamfu
3. Kukauka kwa midomo.
4. Ukavu wa ngozi
5. Machozi kutoka kwa shida
6.Wakati mwingine kuhisi kizunguzungu
Kwa watoto ni vyema wakahakikishiwa wanakunywa maji kabla ya kwenda kucheza
Kwa watoto ni vyema wakahakikishiwa wanakunywa maji kabla ya kwenda kucheza
Pia unaweza kupakua App yetu kwa kuingia kwenye playstore kisha tafuta mandai products na utaidownload kisha utakuwa unapata kila taarifa zetu kupitia simu yako kila siku
No comments:
Post a Comment