/about/diarrhea-579afb405f9b589aa9d6da94.jpg)
1. Kuzingatia usafi wa choo
2. Kunawa mikono kila baada ya kutoka chooni
3. Kuosha vyombo vizuri na kuvihifadhi sehemu safi
4. Kuosha matunda kabla ya kula
5. Kunywa maji safi na salama (yaliyochemshwa)
6. Kunawa mikono kila unapohitaji kula chochote
Pia unaweza kupakua App yetu kwa kuingia kwenye playstore kisha tafuta mandai products na utaidownload kisha utakuwa unapata kila taarifa zetu kupitia simu yako kila siku
No comments:
Post a Comment