KWA
kuwa ni vigumu kutambua ugonjwa wa apendiksi, ni vema kwenda hospitali kupimwa
ili kupata uhakika kama unao kabla ya kuanza tiba.
Baadhi
ya dalili zake ni mauamivu ya ghafla ya tumbo yakifuatiwa na kuvurugika tumbo,
kuharisha na baadaye maumivu kuhamia upande wa chini wa kulia wa tumbo.
Dalili
zingine ni homa, kutapika, kizunguzungu na kukosa hamu ya chakula. Hata hivyo
ukitumia maziwa, methi, karoti, bitiruti na tango vinasaidia kuondokana na
tatizo hilo.
Maziwa
Tumia
maziwa yaliyoondolewa mafuta lita moja kila siku kama tiba ya apendiksi, baada
ya siku 14 nenda hospitali ukapimwe kutathmini maendeleo ya tiba.
Methi
Kijiko
kimoja cha chai chenye mbegu za methi, weka katika lita moja ya maji, chemsha
polepole kwa muda wa nusu saa, badaye ichuje na baada ya kupoa, kunywa maji
yote. Endelea na tiba hii kwa muda wa mwezi mmoja.
Karoti,
bitiruti na tango
Changanya
mililita 100 za juisi ya tango, nyingine kiasi hicho ya karoti na ya bitiruti
kama hiyo, kisha kunywa. Fanya tiba hii mara mbili kwa muda wa wiki mbili.
Mchanganuo huu
umeletwa kwako na Mtaalamu wa tiba, lishe na virutubisho, Abdallah Mandai.
Kwa anayesumbuliwa
na tatizo la kiafya, karibu makao makuu yetu, Ukonga Mongolandege, Dar es
Salaam au awasiliane na Mtaalam wetu Mandai kwa ushauri na kujipatia
virutubisho mbalimbali vinavyoukinga mwili dhidi ya magonjwa.
Mtaalamu Mandai
anapatikana kwa simu +255745900600 au barua pepe dkmandaitz@gmail.com.
No comments:
Post a Comment